KLINIKI YA KINYWA NA MENO

Posted on: April 20th, 2024



HUDUMA ZINAZOTOLEWA 

i)Elimu na ushauri wa Afya ya kinywa na meno

ii) Kung’oa Meno

iii) Kuziba meno

iv) kusafisha na kung’arisha Meno

v) Kutengeneza meno Bandia ya kuvua na kutovua.

Vi) Upasuaji wa kinywa na meno

vii) kurudishia Taya zilizovunjika

viii)Kurekebisha taya na kupanga meno

ix) Kutengeneza vifaa vya kuvaa na kuvua kwa ajili ya kupanga meno

x) kuziba Meno kuanzia kwenye mizizi